SHINYANGA: WAMILIKI VIWANDA WAILALAMIKIA TANESCO UMEME KUKATIKA HOVYO
BAADHI ya wamiliki wa Viwanda vya kukoboa na kusaga nafaka mkoani Shinyanga wamelalamikia kitendo cha kukatika kwa nishati ya umeme katika maeneo ya viwanda vyao hali inayochangia kwa kiasi kikubwa kushuka kwa kiwango cha uzalishaji. Wamiliki hao wamedai changamoto ya kukatwa kwa umeme mara kwa mara inawaathiri kwa kiasi kikubwa kutokana na kushindwa kuzalisha kwa
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed